JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Wakazi Arusha wahimizwa kutunza amani ambayo ndiyo kitovu cha utalii

Na. Abel Paul wa Jeshi la Polisi Wananchi wa jiji la Arusha wamehimizwa kutunza amani na utilivu wa jiji hilo ambalo Lina sifa ya kupokea wageni wengi kutoka ndani na nje ya nchi ikiwa ni sifa ya kuwa na amani…

Papa Benedict wa XVI afariki Dunia akiwa na umri wa miaka 95

Papa Benedict wa XVI amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 95 katika makazi yake huko Vatican Roma. Vatican imetangaza kifo hicho kupitia mitandao ya kijamii leo Desemba 31, 2022 na kusema kuwa taarifa na ufafanuzi kamili utatolewa hapo baadaye….

Simba wafunga mwaka kwa kishindo,yaipiga wiki Prison

WENYEJI, Simba SC wamefunga mwaka vizuri baada ya ushindi wa mabao 7-1 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam. Mshambuliaji na Nahodha, John Bocco amefunga mabao…

TCRA yabaini kampuni kutoa huduma za televisheni za satelaiti bila leseni

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ni taasisi ya Serikali iliyoanzishwa chini ya Sheria ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania Na.12 ya 2003, na kupewa jukumu la kusimamia Sekta ya Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta nchini Tanzania.  TCRA imebaini kuwepo kwa makampuni…

Majaliwa: Anzisheni majukwaa ya kiuchumi

Waziri Mku Kassim Majaliwa ameagiza viongozi na watumishi katika balozi waendelee kufanya tathmini ya fursa za kiuchumi ambazo Tanzania inaweza kupata kutokana na ushirikiano wa kidiplomasia kwenye nchi walizopo. Amesema ni vema balozi hizo zikaanzisha majukwaa ya kiuchumi yatakayowakutanisha wafanyabiashara…

Watuhumiwa 1942 wa wizi wa mifugo wakamatwa nchini

Na Abel Paul wa Jeshi la Polisi Jeshi la Polisi kupitia kikosi cha kuzuia na kupambana na wizi wa mifugo nchini limewakamata watuhumiwa 1942 wa wizi wa mifugo kwa kipindi cha Januari hadi Desemba 2022.Akitoa taarifa hiyo leo Desemba 30,2022 Kamanda…