JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

LATRA yaweka wazi nauli za mabasi ya mwendokasi,pikipiki

Mamlaka ya Udhibiti wa usafiri Ardhini (LATRA), imetangaza nauli mpya za mabasi ya Mwendo kasi yanayofanya kazi zake jijini Dar es Salaam huku ikijiandaa kupanga nauli za treni ya mwendokasi (SGR) Akitangaza nauli hizo mbele ya waandishi wa habari jana…

Rais Samia: Sasa rukhsa kufanya mikutano ya hadhara

Hatimaye kilio cha wanasiasa cha muda mrefu kimepata ufumbuzi baada ya Serikali kuruhusu kuanza kwa mikutano ya hadhara ambayo itazingatia sheria za nchi. Akizungumza na viongozi wa vyama 19 vya siasa leo Januari 3,2023, Rais Samia amesema kuwa amefurahishwa na…

Ajali yaua watu sita wa familia moja wakitoka kula sikukuu

Watu sita wa familia moja akiwemo baba, anayejulikana kwa jina la Khumbulani Togara, mama na watoto wao wanne, akiwemo kichanga, wanaripotiwa kufariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea siku ya Boxing Day, Desemba 26, 2022. Ajali hiyo iliyozua gumzo kubwa…

Mpango awaasa Watanzania kudumisha amani

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Philip Mpango pamoja na mkewe Mama Mbonimpaye Mpango leo tarehe 1 Januari 2023 wameungana na waumini wa Kanisa Katoliki Parokia ya Yohane Bosco iliopo Miyuji mkoani Dodoma katika Ibada ya Misa…

TANROADS:Daraja la Tanzanite kufungwa kwa siku 8

Wakala ya Barabara (TANROADs) Mkoa wa Dar es Salaam imetangaza kufungwa kwa Daraja la Tanzanite kwa muda wa siku 8 ili kupisha maboreshna kuweka nembo ya Tanzanite katika daraja hilo. “TANROADS inawatangazia watumiaji wa Daraja la Tanzanite kuwa daraja litafungwa…