JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Kikwete aanza ziara na kukagua miradi ya maendeleo

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Chalinze Mbunge wa Jimbo la Chalinze mkoani Pwani ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Ridhiwani Kikwete, ameanza ziara jimboni kwake . Katika ziara hiyo amekagua ujenzi wa madarasa 13 kata ya…

BoT yatoa tahadhari kuongezeka kwa udanganyifu wa fedha

Benki Kuu ya Tanzania (BoT),imebaini kuongezeka kwa udanganyifu wa fedha nchiniunaohusisha mwananchi kupokea taarifa(hati au barua pepe) inayodai kuwa ni uthibitisho wa malipo kupitia SWIFT na/au mifumo mingine ya uhamishajifedha. Mpokeaji anafahamishwa kuwa fedha zimeingizwa kwenye benki au akaunti katika…

Mlaki:Kiwango cha ufaulu elimu ya msingi Pwani kimeshuka

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Pwani Kiwango Cha ufaulu kwa mwaka 2022 kimeshuka Mkoani Pwani ,kwa asilimia 1.174 ukilinganisha na matokeo ya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi mwaka 2021. Akizungumzia taarifa ya tathmini ya matokeo hayo, katika kikao kazi Cha kuboresha elimu…

Serikali kufuatilia video ya mhudumu wa afya Tabora iliyosambaa mtandaoni

Kufuatia kusambaa kwa video fupi katika mitandao ya kijamii ikimuonyesha mhudumu wa afya akijibizana na mwenzake, huku mmoja akipinga matumizi ya vifaa tiba vilivyokwisha muda wake wa matumizi. Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ametoa taarifa kuhusu video hiyo kuwa Timu…