JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Polisi Manyara waadhimisha miaka 59 ya Mapinduzi kwa kufanya usafi

Jeshi la Polisi Mkoa wa Manyara na watumishi wa Halmashauri ya Mji wa Babati wameungana na wananchi kufanya usafi katika kuadhimisha miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar leo Januari 12,2023. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara George Katabazi amesema wameamua kuungana…

RC Ruvuma aagiza kukamatwa wazazi ambao watoto wao hawajaripoti shuleni

Na Albano Midelo,JamhuriMedia, Ruvuma Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas amewaagiza wakuu wa Wilaya,wakurugenzi na viongozi ngazi ya kata na vijiji kuwakamata wazazi wote ambao hadi Jumatatu ijayo watakuwa hawajawapeleka watoto wao shule. Ametoa agizo hilo baada ya…

Kifo cha utata, Polisi Pwani yamshikilia mume

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Pwani Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Michael anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani kutokana na utata wa kifo cha anayedaiwa kuwa mke wake Primrose Matsambire (39) raia wa Zimbabwe . Primrose amefariki katika Hospitali ya…

Ummy:Serikali kuwalinda wazalishaji dawa ili kuongeza ukuaji uchumi

Na Englibert Kayombo,JamhuriMedia,Dar Serikali kupitia Wizara ya Afya imesema itaendelea kutoa kipaumbele na kuwalinda wazalishaji wa dawa na vifaa tiba waliopo hapa nchini ili kuongeza uzalishaji pamoja na ukuaji wa uchumi. Hayo yamesemwa na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu leo…

Serikali yakanusha taarifa ya ndege zinazodaiwa kutua mbugani kusafirisha wanyamapori

Hivi karibuni kumekua na taarifa za uzushi na upotoshaji zinaendelea kutolewa kupitia mitandao ya kijamii na baadhi ya watu wenye nia ovu ili kuzua taharuki kuwa ndege zinazoruka na kutua katika maeneo ya hifadhi zinasafirisha wanyamapori na rasilimali nyingine zinazolindwa…

Rais Samia afungua Skuli ya Mwanakwerekwe

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imeendelea kutenga fedha kwa ajili ya ustawi wa jamii kama elimu, maji na afya ili wananchi waweze kunufaika na huduma hizo. Rais Samia ameyasema hayo leo wakati…