JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Lyoto Development Foundation kuwanufaisha kiuchumi Kata ya Mzimuni

Na Mussa Augustine,JamhuriMedia Diwani wa Kata ya Mzimuni Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni Manfred Lyoto ameanzisha Taasisi ijulikanayo kama Lyoto Development Foundation ili kuhakikisha inatoa mikopo isiyokuwa na riba kwa wananchi wa kata hiyo ili wafanye shughuli za kujikwamua kiuchumi….

Kamati Kuu CCM yateua wajumbe wapya

Kamati Kuu ya Halmashauri ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imeteua wajumbe wapya saba kutoka Tanzania Bara na Zanzibar pamoja na sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC). Akitoa taarifa ya kikao hicho leo Januari 14, 2023, Shaka Hamdu Shaka ambaye…

Wanne wa familia moja wafariki kwa ajali

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Morogoro Watu wanne wa familia moja wamefariki dunia na wengine wawili kujeruhiwa baada ya gari dogo walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori katika eneo la Kwambe Point A Dumila, wilayani Kilosa mkoani Morogoro. Kamanda wa…

Wafanyabiashara Kinondoni walia miundombinu mibovu ya Masoko

Na Mussa Augustine,JamhuriMedia Wafanyabishara wa Masoko ya Kigogo,Magomeni na Makumbusho katika Manispaa ya Kinondoni Mkoani Dar es salaam wameiomba Serikali kuwatatulia kero zinazowakabili ikiwemo uchakavu wa Miundombinu ya Maji taka,pamoja na huduma zingine Muhimu kama vile kukosa sehemu ya Kuhifadhi…

RC Ruvum:Natangaza vita endelevu na wanaokata miti

Na Albano Midelo,JamhuriMedia, Ruvuma Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas amesema kuanzia sasa anatangaza vita endelevu na watu wote wanaokata miti kwenye misitu na wanaoharibu vyanzo vya maji.Ametangaza vita hiyo kwa nyakati tofauti wakati anazindua upandaji wa miti…

Benki ya Dunia yaridhishwa na TSC kutekelexa mradi wa BOOST

Benki ya Dunia ambayo ni mfadhili wa Mradi wa BOOST imeonesha kuridhishwa na namna Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) inavyotekeleza moja ya malengo ya mradi huo katika kuwasaidia walimu kuwa na mwenendo mwema unaozingatia miiko na maadili ya kazi…