JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Ummy:Msiwaonee aibu wanaokiuka maadili ya kazi

Na Mwandishi Wetu-WAF,Dodoma Wenyevyiti na Wasajili wa Mabaraza na Bodi za Kitaaluma nchini wametakiwa kusimamia maadili ya wanataaluma ili kulinda jamii na huduma zinazotolewa kwa wananchi. Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu wakati wa kikao cha pamoja…

Serikali yatuma timu kuchunguza vitendo vya watoto kulawitiana

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dodoma Serikali imemwagiza Kamishna wa Elimu,Mkurugenzi wa Udhibiti ubora wa Elimu na Mwanasheria wa Wizara ya Elimu kufanya uchunguzi wa tukio la vitendo vya watoto kufundishwa kulawitiana katika baadhi ya shule nchini. Hayo yamesemwa na leo Januari…

‘Serikali kuwachukulia hatua waajiri wanaondesha mashauri bila kuzingatia sheria’

Na Veronica Mwafisi,JamhuriMedia,Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama amesema Serikali haitosita kuwachukulia hatua waajiri katika taasisi za umma ambao watabainika kushughulikia mashauri ya kinidhamu ya watumishi wa umma…

Mradi wa umeme wa Julius Nyerere wafikia asilimia 80.2

Naibu Waziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato, amesema kuwa utekelezaji wa mradi wa umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) utakaozalisha umeme wa kiasi cha megawati 2,115 umefikia asilimia 80.2. Naibu Waziri Byabato ameyasema hayo Januari 17, 2023, wakati Wizara ya Nishati…

Soko la samaki Feri Dar lakabiliwa na mrundikano wa wafanyabiashara

Na Mussa Augustine,JamhuriMedia Soko la Kimataifa la Samaki Feri lililoko Kivukoni jijini Dar es Salaam linakabiliwa na changamoto ya kuwa na idadi kubwa ya wafanyabiashara zaidi ya 3000 huku uwezo wake halisia ni kuwa na uwezo wa kuhudumia wafanyabiashara wapatao…