JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

RC Dodoma azindua mradi wa afya ya uzazi kwa vijana

Mkoa wa Dodoma umezindua rasmi mradi unaoshughulikia masuala ya afya ya uzazi kwa vijana na wanawake unaojulikana kama Reproductive Equity Strategy in Tanzania (REST) unaoendeshwa na shirika lisilo la Kiserikali la Deutsche Stiftung Weltbevolkerung (DSW) Tanzania ambao utafanya kazi kwenye…

Tisa mbaroni kwa tuhuma za kuiba vifaa vya SGR

Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linawashilikia watu 9 kwa tuhuma za makosa mbalimbali ikiwa ni pamoja na vifaa vya ujenzi katika mradi wa kisasa wa SGR pamoja na ujenzi wa daraja la Kigongo – Busisi maarufu kama daraja la JPM….

Mbarali wampongeza Rais Samia kumaliza mgogoro wa ardhi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Wananchi wa Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya wameipongeza Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kumaliza mgogoro wa ardhi uliodumu kwa miaka 15 na hivyo kuwawezesha kuendelea kufanya shughuli zao…

Spika:Tuko tayari kubadili sheria zenye changamoto za kijinsia

Na Magreth Kinabo –Mahakama Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson amesema kwamba Bunge liko tayari kubadili sheria zinazoleta changamoto katika mashauri yanayohusu ukatili wa kijinsia hususan kwa wanawake ,watoto na watu wenyeulemavu. Akizungumza…

Nyasa,Mbinga wafanya msako kuwabaini wasiopelekwa shule

Na Cresensia Kapinga,JamhuriMedia,Ruvuma Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya ya Nyasa na Mbinga zilizopo mkoani Ruvuma wamekemea baadhi ya wazazi wenye watoto waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka huu ambao hawajawapeleka shule kwa visingizio mbalimbali visivyokuwa na msingi wawapeleke shule…

Ujenzi wa barabara uliokwama mwaka mmoja Mafia mbioni kukamilika

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Mafia Ujenzi wa kipande cha barabara ya ‘Kichangachui – Hatchery’ kinachojengwa kwa kiwango cha lami Mjini Mafia ambao ulikuwa umekwama kwa takriban mwaka mmoja, upo mbioni kukamilika. Ujenzi huo ulikwama kwa kipindi kuanzia Januari mwaka 2021 na unatarajiwa…