JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

‘Kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi si jukumu la wizara pekee’

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi Dkt.Batilda Burian amesema suala la kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na watoto wachanga sio jukumu la wizara ya Afya pekee hivyo ni muhimu kila sekta kuweka mikakati ya pamoja. Balozi Burian amebainisha hayo mkoani…

CCM yatoa wiki moja walimu 
wote wapate vishikwambi

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimetoa wiki moja kwa Wizara ya Elimu kuanzia leo Januari 20, 2023, kuhakikisha vishikwambi vilivyotolewa na Serikali kwa ajili ya walimu vinawafikia walengwa.  CCM Imesema imepokea malalamiko ya kutotekelezwa kikamilifu kwa maelekezo ya Waziri Mkuu, Kassim…

Baraza la biashara Kibaha laonyesha mwanga wa mafanikio

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Kibaha Wawekezaji na wafanyabiashara wameaswa kuwa wazalendo kwa kulipa Kodi na kuwasilisha taarifa sahihi za biashara zao ili kuiwezesha Wilaya kupata Mapato yatakayotumika kujenga miundombinu na Maendeleo mengine Kisekta Rai hiyo imetolewa Muhammad Tundia ambaye ni Mwenyekiti za…

TMA yatoa angalizo kuwepo kwa upepo mkali

Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA),imetoa tahadhari kwa wananchi wanaofanya shughuli zao katika bahari ya Hindi kuhakikisha wanachukua tahadhari kutokana na angalizo la kuwepo kwa vipindi vua upepo mkali. Kwa mujibu wa mchambuzi wa Hali ya Hewa kutoka TMA,Rose…

Serikali yafurahishwa na utendajikazi wa Yapi Merkezi,yaongeza mkataba

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Tabora YAPI Merkezi, kampuni ya Uturuki iliyopewa kandarasi na Shirika la Reli Tanzania (TRC) imeanza kujenga awamu nne ya kipande cha reli ya kisasa (SGR) cha Tabora-Isaka kwa kufanya uzinduzi mkubwa ulioshuhudiwa na wageni waalikwa akiwemo Makamu wa…

Makamba:Serikali kuboresha maghala ya kuhifadhi mafuta

Na Godfrey Mwemezi,JamhuriMedia,Dodoma Waziri wa Nishati,January Makamba amesema kuwa serikali inaendelea na jitihada mbalimbali za kupata wawekezaji watakaojenga Ghala kuu la kupokelea mafuta kwa pamoja ili kuwezesha nchi kuwa na uhakika zaidi wa upatikanaji wa mafuta. Makamba ameyasema hayo tarehe…