JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Polisi wazungumzia taarifa za ugaidi kwenye mitandao

Jeshi la Polisi Tanzania limesema kuwa hali ya ulinzi na usalama wa nchi ni shwari kwani matukio makubwa yanayoweza kuleta hofu kwa wananchi yanaendelea kudhibitiwa, Kwa mujibu wa taarifa ilitolewa kwa vyombo vya habari leo Januari 26, 2023 na msemaji…

Kilo 399 za dawa za kulevya zakamatwa

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya imekamata jumla ya kilo 399.28 za dawa za kulevya aina ya bangi katika Kitongoji cha Sokoni, Kiji cha Chogoali, Kata ya lyogwe, tarafa ya Gairo, wilaya ya Gairo, mkoani Morogoro. Kwa…

Umoja wa Ulaya waridhishwa na mradi wa maji Mwanza

………………………………………………………………………………………………………. Mabalozi wa Umoja wa Ulaya wameridhishwa na ubora na kasi ya ujenzi wa mradi wa shilingi bilioni 69 wa Dakio jipya la Maji katika eneo la Butimba Jijini Mwanza. Mabalozi wa Umoja huo wamepongeza jitihada zinazoendelea kuchukuliwa na Serikali…

Kairuki awajia juu walimu wanaotoa adhabu ya viboko kwa wanafunzi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Angellah Kairuki,amewaonya walimu wanaokiuka Kanuni za Elimu za mwaka 2002 na kutoa adhabu kali kwa wanafunzi Serikali haitosita kuchukua hatua kali dhidi yao. Waziri…

Jenista atoa wito kwa wakazi Mkoa wa Kaskazini Unguja kurasimisha ardhi

Na James Mwanamyoto,JamhuriMedia,Zanzibar Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,Jenista Mhagama ametoa wito kwa wakazi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja, kurasimisha ardhi ili kupata mtaji wa kujenga nyumba za wageni za kawaida zinazohitajika…

Tanzania yafaidika na miradi ya kupambana na hali ya jangwa

Katika kukabiliana na changamoto ya ukame, Tanzania imefaidika na miradi ya kuhamasisha matumizi endelevu ya ardhi hivyo kupunguza kuenea kwa hali ya jangwa na ukame na athari zake. Hayo yamesemwa na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira)…