JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Operesheni yawakamata wazazi 763 Tunduru, 600 wajisalimisha Polisi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Tunduru Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma imeendesha operesheni maalumu ya nyumba kwa nyumba ya kuwasaka wazazi wasiopeleka watoto shule licha ya kuchaguliwa kuingia kidato cha kwanza mwaka huu. Akizungumzia operesheni hiyo mkuu wa wilaya hiyo Julius Mtatiro, amesema…

Maganya aiasa Jumuiya ya Wazazi kuibua miradi mipya

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Pwani Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Taifa,Fadhil Maganya ametoa rai kwa wanachama na viongozi wa Jumuiya hiyo kuhamasika kuanza kujenga ofisi za kisasa kwa ngazi zote ili kuimarisha Jumuiya. Aidha amewaasa kuhakikisha wanabuni vyanzo vya kiuchumi, miradi ya…

RC Dodoma ashauri kufuatilia nyenendo za wafungwa wanapomaliza vifungo

Na Mary Gwera,Mahakama,Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Rosemary Senyamule ametoa ushauri kwa Jeshi la Magereza nchini kuona namna bora ya kufuatilia nyenendo za wafungwa pindi wamalizapo muda wa vifungo vyao kwa kushirikiana na Halmashauri kupitia Maafisa Ustawi wa Jamii ili…

Zima Moto Ilala yajipanga kukabiliana na majanga ya moto

Na Mussa Augustine Jeshi la zimamoto na Uokoaji Mkoa wa zima Moto Ilala limeishauri Halmashauri ya Jiji la Ilala kuhakikisha inatenga Miundombinu ya barabara ili kuweza kurahisisha kufika kwenye eneo ambapo ajali ya Moto ilipotokea na kuweza kuudhiti. Pia limesema…

NHC yatoa saruji mifuko 75 kusaidia ujenzi wa hosteli Singida

Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limetoa mifuko 75 ya saruji yenye thamani ya Sh. Milioni 1.5 kwa ajili ya ujenzi wa hosteli ya wasichana katika Sekondari ya Kintinku iliyopo wilayani Manyoni mkoani Singida. Akizungumza wakati akikabidhi saruji hiyo kwa…

NMB yaandika historia mpya ya faida,yatenga bil.6.2/-kusaidia jamii

Benki ya NMB imeendelea kuboresha rekodi yake ya kutengeneza faida baada ya mwaka jana kuongeza kwa kiasi kikubwa pato hilo na kuweza kutenga TZS bilioni 6.2 kwa ajili ya uwekezaji katika miradi yenye tija kijamii. Kiasi hicho kikubwa kuwahi kutumika…