JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Serikali yatoa mikopo ya bil.165/- kwa wakulima

Na Farida Ramadhani,WFM, Dodoma Serikali kupitia Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa mkopo wa shillingi billioni 164.9 kwa Sekta ya Benki na Taasisi za Fedha nchini uliowanufausha wakulima wadogo 5,385 na Vyama vya Ushirika na Masoko (AMCOS) 21. Hayo yameelezwa…

Chongolo adai kukosa imani na kiwanda cha sukari Kilombero

Na Mwandishi Wetu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo amepokea malalamiko ya wananchi ambao wanajihusisha na wakulima wa miwa Kilombero mkoani Morogoro ambao wamedai kukosa imani na Kiwanda cha sukari Kilombero kwa jinsi wanavyopima kiwango cha utamu…

Migogoro ya ardhi Mapinga yamchefua RC Kunenge

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia, Bagamoyo Mkuu wa Mkoa wa Pwani alhaj Abubakari Kunenge, ameanza kutekeleza mapendekezo na msimamo wa Serikali kusimamia migogoro ya ardhi iliyokithiri kata ya Mapinga ambapo imeweka rekodi ya kata inayoongoza kwa migogoro hiyo nchini. Ameeleza katika hatua…

CCM yazoa wanachama wapya 70 kutoka upinzani

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Rufiji Viongozi watatu wa upinzani kutoka Chama Cha Wananchi (CUF) pamoja na ACT Wazalendo pamoja na wafuasi wao 67 wamekimbilia Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Rufiji Mkoani Pwani,huku wakidai Mwenyekiti wa CCM Taifa Samia Suluhu Hassan ni Suluhu…

Sheria ya kuwabana wenye nyumba yaja

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Serikali imesema inakamilisha Muswada wa Sheria utakaoanzisha chombo cha kusimamia sekta ya milki (Real estate Regulatory Authority), kwa ajili ya kusimamia na kulinda maslahi ya wapangaji. Pamoja na shughuli zingine chombo hicho kitamlazimisha mwenye nyumba kutoza kodi…

Mama jela miaka mitano kwa kumchoma pasi mtoto wake

Na Abel Paul wa Jeshi la Polisi Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limemkamata Doreen Lema (30), mkazi wa Baraa katika Halmashauri ya Jiji la Arusha kwa kosa la kumchoma pasi ya umeme mtoto wake wa kumzaa mwenye umri wa…