JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Mhoja ataka vyama vya ushirika kusimamiwa kikamilifu

Na Cresensia Kapinga,JamhuriMedia,Songea MRAJIS msaidizi wa vyama vya ushirika Mkoa wa Ruvuma,Peja Mhoja amewataka mameneja wa vyama vya msingi na vyama vikuu vya ushirika, kutumia mfumo wa Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (MUVU )mfumo ambao utakwenda kurahisisha zoezi la upatikanaji…

Jaji Mkuu:Usuluhishi unachochea uchumi, amani

Na Mary Gwera,Mahakama-Dodoma Jaji Mkuu wa Tanzania,Prof. Ibrahim Hamis Juma ametoa rai kwa umma kujielekeza zaidi kwenye utatuzi wa migogoro mbalimbali kwa njia ya Usuluhishi ili kukuza uchumi, kuokoa muda na hatimaye kupunguza mlundikano wa mashauri mahakamani. Akizungumza wakati wa…

MO aendelea kuburuza Afrika mashariki na Kati

Mfanyabiashra Mohamed Dewji ‘Mo’ ameendelea kung’ang’ania kwenye orodha ya matajiri Barani Afrika iliyotolewa na Jarida maarufu la Forbes, ambapo ameshika nafasi ya 13 huku maarufu Aliko Dangote akishika nafasi ya kwanza. Katika orodha hiyo iliyotolewa na jarida la Forbes linalofuatilia…

Eneo la Kitaraka kutumika kimkakati kuzalisha mifugo Manyoni

Na Mbaraka Kambona,JamhuriMedia,Singida Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Abdallah Ulega (Mb) amesema kuwa Serikali imedhamiria kulitumia eneo la kupumzishia mifugo la Kitaraka lililopo wilayani Manyoni, Singida liweze kutumiwa na vijana watakao hitimu mafunzo katika vituo atamizi kwa ajili ya kufanya…