JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Biteko awataka wahitimu TGC kutekeleza sera ya madini

Waziri wa Madini,Dkt. Doto Biteko amewatunuku vyeti jumla ya wahitimu 39 wakiwemo wanaume 25 na wanawake 14 wa Kituo cha Jemolojia Tanzania (TGC) katika Stashahada ya Teknolojia ya Madini ya Vito na Usonara. Akizungumza Dkt. Biteko katika mahafali hayo ambapo…

Byabato:Mradi wa bomba la mafuta unaendelea kutekelezwa

Naibu Waziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato amesema kuwa, utekelezaji wa mradi Bomba la Mafuta Ghafi kutoka Uganda hadi Tanzania (EACOP) unaendelea kutekelezwa na kwamba shughuli mbalimbali zinaendelea kufanyika nchini Tanzania na Uganda. Naibu Waziri amesema hayo Februari 10, 2023…

Serikali kuunda Tume kufuatilia madawati ya jinsia vyuoni

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wanawake na Makundi maalum, Mwanaidi Ali Khamis amesema Serikali imedhamilia kuondoa Ukatili wa Kijinsia Nchini Kwa kuja na Mpango kazi unaotekelezeka ikiwemo Uanzishaji wa Madawati ya Kijinsia Kwenye Vyuo Vikuu na Vyuo vya kati….

Tunduru kuwatoza faini wafugaji wanaoishi kiholela

Serikali ya Wilaya Tunduru mkoani Ruvuma imesema,itawakamata na kuwatoza faini wafugaji wote wanaoishi kiholela na kuchunga mifugo nje ya maeneo yaliyotengwa(vitalu). Kauli hiyo imetolewa jana na mkuu wa wilaya hiyo Julius Mtatiro,wakati akizungumza na wafugaji wakati wa ufunguzi wa nyumba…

Serikali yadhamiria kutekeleza mradi wa Liganga,Mchuchuma kwa manufaa ya Taifa

Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt.Ashatu Kijaji ameihakikishia Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira kuwa Serikali imedhamiria kutekeleza Mradi wa Kimkakati wa Liganga na Mchuchuma kwa manufaa ya Taifa kwa ujumla. Aidha, Dkt.Kijaji amewahakikishia wajumbe…

Sagini: Madereva acheni kuzimaliza roho za Watanzania

Na Hyasinta Kissima,JamhuriMedia Naibu Waziri Mambo ya Ndani ya Nchi, Jumanne Sagini, amewatala Makamanda wa mikoa kuwafutia na kuwanyang’anya leseni madereva hatarishi ambao wamekuwa hawafuatia na kuzingatia sheria za usalama barabarani na kusababisha vifo na ulemavu licha ya elimu ya…