JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Ndunguru:Uwekezaji sekta ya madini umekua kwa kasi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Katibu Mkuu Mpya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Adolf Ndunguru amesema Uwekezaji katika Sekta ya Madini umekua kwa kasi ikiwemo kuongezeka kwa mapato ya Serikali yanayotokana na shughuli za madini nchini….

Meya Dodoma azitaka Kamati za urasimishaji kutokuwa miungu watu

Na Magreth Lyimo,WANMM Kamati za urasimishaji zimeelekezwa kutokuwa miungu watu na badala yake zimetakiwa kusimamia na kuwa kiunganishi kati ya wananchi na wataalamu wa Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi (LTIP) watakaoenda kutekeleza zoezi la urasimishaji katika Jiji…

DC Namtumbo aonya watendaji wasio waaminifu

Na Cresensia Kapinga,JamhuriMedia,Namtumbo Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo Malenya Ngolo amesema kuwa usimamizi mbovu wa vyanzo vya mapato kutoka kwa baadhi ya madiwani pamoja na wataalam,umesababisha baadhi ya watendaji wa halmashauri hiyo kuhujumu mapato jambo ambalo limesababisha kutoendelea kwa miradi…

Jela maisha kwa kumlawiti mtoto wake wa miaka minne

Na Steven Augustino,JamhuriMedia,Tunduru Mahakama ya Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma imemhukumu mkazi wa kijiji cha Namiungo,Mohamed Saudi Ngwelekwe (25) kutumikia adhabu ya kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kosa la kumlawiti mtoto wake mwenye umri wa…

Rais Samia: Mimi sichukulii wapinzani kama maadui

“Mtanzania yoyote, awe chama chochote cha siasa. Tunachotofautiana ni mawazo tu na fikra. Mimi sichukulii wapinzani kama maadui, nawachukulia kama watu watakaonionesha changamoto zilipo nizitekeleze ili CCM iimarike,” Rais Samia Suluhu Hassan. Arusha, Machi 5, 2023 Rais Samia pia amekubali…