JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

NMB yashinda tuzo bora Tanzania 2023, Mkurugenzi aibuka mkurugenzi bora

Benki ya NMB imeandika historia nyingine baada ya kutwaa Tuzo ya Benki Bora Tanzania kwa mwaka 2023 wakati wa mkutano wa Africa Bank 4.0 Summit uliofanyika jijini Nairobi, nchini Kenya kutokana na jitihada ma utendaji kazi wa benki hiyo katika…

Rais Mwinyi aweka mikakati ya kumaliza tatizo la ajira

Na Tatu Saad,JamhuriMedia Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dkt.Hussein Ali Mwinyi ameweka mikakati ya kumaliza tatizo la ajira kwa vijana na wananchi kwa ujumla huko Zanzibar. Rais amekuwa akiwapa vipaumbele vijana na wananchi wake katika…

Khamis:Rais Mwinyi amevuka malengo ya Ilani ya CCM

Tangu kuingia madarakani kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi,tayari miradi 223 imesainiwa na kuvuka lengo la Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Hayo yamebainishwa leo Machi 13,2023 na Katibu wa Kamati Maalumu ya…

Mume aua mke na kumzika chumbani

Na Benny Kingson,JamhuriMedia,Tabora Salma Hamis Maulid (34), mkazi wa Mtaa wa Mbirani, kata ya Kidongo-Chekundu katika Halmashauri ya Manispaa Tabora ameuawa na mume wake na kisha kuzikwa chumbani. Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani hapa Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP)…

Naibu Waziri wa Maji awataka wananchi kutunza vyanzo vya maji Songea

Na Cresensia Kapinga,JamhuriMedia,Songea Naibu Waziri wa maji mhandisi Maryprisca Mahundi amewataka wakazi wa manispaa ya Songea na vitongoji vyake kuona umuhimu wa kutunza mazingira kwenye vyanzo vya maji ili miradi ya maji inayotekelezwa na serikali iweze kuwa endelevu pamoja na…

Jaji Mkuu ataja faida za majaji na mahakimu wanawake

Magreth Kinabo na Mary Gwera Jaji Mkuu wa Tanzania,Prof. Ibrahim Hamis Juma amefungua Kongamano maalum la kusherehekea Siku ya Majaji na Mahakimu Wanawake Duniani lililoandaliwa na Chama cha Majaji na Mahakimu Wanawake Tanzania (TAWJA) ambapo amebainisha kuwa, uwepo wa Majaji…