JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Ummy awajulia hali waliowekwa karantini kwa kuwahudumia wagonjwa wa Marburg

Na WAF – Bukoba,JamhuriMedia,Kagera Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amewatembelea watumishi wa afya waliowekwa sehemu maalumu ya uangalizi baada ya kuwahudumia wagonjwa wa Marburg walioripotiwa katila Wilaya ya Bukoba Mkoani Kagera. Ziara hiyo ameifanya leo akiambatana na Wawakilishi kutoka Shirika…

Bilioni 223.9 zapelekwa Tunduru ndani ya miaka miwili ya SSH

Na Idd Mohamed JAMHURI MEDIA Jumla ya Shilingi 223,917,101,547.11 zimepelekwa wilaya ya Tunduru kusimamia shughuli mbalimbali za maendeleo tangu mwezi Machi 2021 – Machi 2023, miaka 2 ambayo serikali ya Tanzania imeongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan. Mkuu wa Wilaya…

Kimbunga chaua 23 Mississippi Marekani

Takriban watu 23 wamefariki dunia baada ya kimbunga kukumba jimbo la Mississippi nchini Marekani usiku wa kuamkia leo. Watu zaidi wanadhaniwa wamenaswa chini ya vifusi vya majengo yaliyoharibiwa. Kimbunga hicho kilisababisha uharibifu mkubwa katika miji kadhaa ya mashambani, ambapo miti…

Kinana awataka Waislamu kuzingatia maadili mema

Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana, amewataka Waislamu kuzingatia mafundisho ya Mtume Muhammad (SAW) hususan kuhusu uchamungu na tabia njema. Kinana ameyasema hayo jana wakati wa hafla ya mashindano ya Kuraani tukufu yaliyoandaliwa na Taasisi ya…

Mama Janeth Magufuli atunukiwa tuzo DRC

Mama Janeth Magufuli, mjane wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Hayati John Pombe Magufuli ametunukiwa Tuzo ya Heshima ya Kimataifa toleo la tatu, inayotolewa na Taasisi ya Martha Tshisekedi Kasalu maarufu M. T….

TMA yaiwakilisha vema Tanzania mkutano wa tathmini ya mabadiliko hali ya hewa na tabianchi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dkt. Ladislaus Chang’a, ambaye pia ni Afisa Kiungo wa Tanzania katika Jopo la Kimataifa la Sayansi ya Mabadiliko ya Hali ya Hewa na Tabianchi (Intergovernmental Panel…