JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Uingereza yahofia mashambulizi ya kigaidi ziara ya Biden

Serikali ya Uingereza imeongeza kiwango cha tahadhari kuhusu kitisho cha kutokea mashambulizi ya kigaidi katika jimbo la Ireland ya Kaskazini kabla ya ziara inayotarajiwa ya Rais Joe Biden wa Marekani. Rais huyo wa Marekani anatarajiwa kuhudhuria kumbukumbu ya miaka 25…

Viongozi wa dini wasisitiza amani nchini Kenya

Viongozi wa dini nchini Kenya wamewataka wanasiasa wanaolumbana kuafikia amani kufuatia ghasia iliyomalizika huku kanisa na majengo yaliyounganishwa na msikiti kushambuliwa jijini Nairobi. Katika maandamano yaliyofanyika Siku ya Jumatatu, yaliyoitishwa na kiongozi wa upinzani Raila Odinga yalisababisha polisi kukabiliana na…

LHRC:Umri wa kuolewa kwa mtoto wa kike miaka 18

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimeendelea kupendekeza umri wa kuolewa kwa mtoto wa kike kuwa miaka 18 huku wakiiomba Serikali kurekebisha vifungu vya 13 na 17 vya sheria ya ndoa vinavyoruhusu mtoto kuolewa akiwa…

Benki ya Dunia kushirikiana na Tanzania kutekeleza PPP

Na Farida Ramadhani, WFM, Dodoma Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia (WB) namna ya kuiwezesha sekta binafsi kushiriki katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo kupitia…

Jaji Warioba azindua mashine ya kisasa ya kuchakata mazao ya misitu

Mkuu wa chuo cha Sokoine cha Kilimo (SUA) Jaji Joseph Sinde Warioba amezindua rasmi mashine ya kisasa ya kuchakata mazao ya misitu ijulikanayo kama Slidetec Sawmill 2020 yenye thamani ya shs 200 milioni. Aidha uzinduzi huo umefanyika leo katika kampasi…

DC Jokate azuru Afrika Kusni kutangaza zao la mkonge

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Mkuu wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga Jokate Mwegelo amezuru nchini Afrika kusini wiki hii kutangaza umuhimu wa Vijana wa Afrika kushiriki katika Ujenzi wa Afrika. Lengo kuu la ziara hiyo ni kutangaza zao la Mkonge na…