JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Jafo: Wananchi watunze mlima Kilimanjaro

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo ametoa wito kwa Watanzania kuhifadhi na kuuutunza Mlima Kilimanjaro ili uendelee kuinufaisha nchi. Ametoa wito huo leo Aprili 04, 2023 bungeni Dodoma wakati akijibu swali…

Shada la maua la Makamu wa Rais wa Marekani lawa kivutio Makumbusho ya Taifa

Shada la mauwa aliloweka Makamu wa Rais wa Marekani,Kamala Harris kwenye onesho maalum la kuwakumbuka wahanga wa Bomu la Ubalozi wa Marekani mwaka 1998 lililopo Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni Dar es Salaam, limewavutia wengi na kufanya wageni wa ndani…

Serikali yaahidi kuendelea kuishika mkono TAZARA

Naibu Waziri wa Uchukuzi, Atupele Mwakibete amesema Serikali itaendelea kutenga fedha kila mwaka kwa ajili ya kuwekeza kwenye Shirika la Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) ili kuhakikisha shirika hilo linapata faida na kuweza kujiendesha. Akizungumza katika tukio maalum la…

Wakuu wa mikoa wapigwa msasa biashara ya hewa ukaa

Na OR-TAMISEMI WAKUU wa mikoa yote Tanzania Bara wamepewa elimu juu ya biashara ya hewa ukaa nchini ambayo itasaidia kuongeza mapato na kuimarisha utoaji wa huduma kwenye mamlaka za Serikali za Mitaa. Hayo yameelezwa, jijini Dodoma katika kikao cha pamoja…