JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Majaliwa: Tanzania kinara masuala ya maafa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Tanzania imekuwa nchi ya kwanza kusaini mkataba wa kuanzisha Kituo cha Huduma za Binadamu na Operesheni za Dharura cha Kanda ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC). “Lengo la kuanzisha kituo hicho ni kusimamia…

MSD yadhamiria kujenga maghala ya kuhifadhi dawa mikoa mitano

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Bohari ya Dawa (MSD),imedhamiria kujenga maghala matano ya kuhifadhi dawa na vifaa tiba katika mikoa mitano nchini. Hayo yamebainisha leo Aprili 5,2023 na Mkurugenzi wa MSD, Mavere Tukai,wakati wa kikao kazi na wahariri wa vyombo…

Kiwanda chakutwa na taka hatarishi za hospitali

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limempatia siku saba (7) mmiliki wa kiwanda bubu cha kukusanya na kusaga chupa za plastiki katika eneo la Kisarawe II wilayani Kigamboni kufika katika ofisi za NEMC kujibu tuhuma za…

Kilio cha gharama kubwa za kusafisha damu sasa kuwa historia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia ,Dodoma Serikali imedhamiria kushusha gharama za kusafisha figo ‘Dialysis’ ili kuwapunguzia mzigo wananchi na hata Serikali. Hayo yamesemwa leo Aprili 5,2023 na Mfamasia Mkuu wa Serikali, Daudi Msasi alipokuwa akizungumza kwa niaba ya Katibu Mkuu Wizara…

Rais Samia afanya uteuzi

Amemteua Bw. Andrew Wilson Massawe kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI). Bw. Massawe anajaza nafasi ya Dkt. Tausi Mbaga Kida aliyeteuliwa kuwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Uwekezaji. Uteuzi huo umeanza tarehe…

Majaliwa atoa maagizo sita kwa TAMISEMI

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa maagizo sita kwa viongozi wa Ofisi ya Rais TAMISEMI na Umoja wa Makatibu Tawala wa Mikoa na Wakurugenzi wa Halmashauri unaohusika na maboresho ya Mamlaka za Serikali za Mitaa (TOA) yatakayosaidia kuboresha utoaji huduma kwa…