JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

601 wafanyiwa uchunguzi na matibabu ya moyo Iringa

Jumla ya watu 601 wamefanyiwa uchunguzi na matibabu ya moyo katika kambi maalum iliyokuwa ikifanywa na madaktari bingwa wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na wenzao wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa (IRRH)….

Watumishi wa umma watakiwa kufanyakazi kwa ubunifu

Na James Mwanamyoto,JamhuriMedia,Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama wametoa wito kwa watumishi wa…

Wafanyabiashara watakiwa kufuata taratibu kuuza mifugo

Na Mwandishi Wetu- Jeshi la Polisi Wafanyabiashara wa mifugo nchini wametakiwa kufuata sheria, kanuni na taratibu zilizowekwa za kununua na kuuza mifugo ili kuepusha changamoto ambazo zinaweza kujitokeza hususani za kununua mifugo ya wizi. Hayo yamesemwa leo Aprili 7,2023 na…

Spika Tulia atoa maagizo kwa Serikali

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Tulia Ackson,ameitaka Serikali kupitia Wizara za Afya, TAMISEMI pamoja na Ofisi ya Rais UTUMISHI kuangalia upya utaratibu wa utoaji wa ajira kwa watumishi ikiwa ni pamoja na kutoa kipaumbele kwa watu…

Ukaguzi wa CAG waonyesha upotevu wa mabilioni ya fedha za umma

Taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali imebaini mapungufu na hasara lukuki ambazo zimekuwa zikisababishwa changamoto za uendeshaji na hivyo kusababisha taasisi au shirika kupata hasara ikiwemo upungufu wa maji wa kati ya asilimi 10 hadi 80…

Jafo atoa siku 30 kwa NEMC kuondosha mifuko ya plastiki

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dkt.Selemani Jafo ametoa siku 30 kwa Mameneja wa Kanda zote wa Baraza la Taifa la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kuendesha kampeni za kuondosha mifuko ya plastiki isiyoruhusiwa…