JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Ufaransa:Ulaya haipaswi kuchochea mzozo kati ya China na Taiwan

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amesema katika maoni yaliyochapishwa Jumapili kwamba Ulaya haina nia ya kuchochea mzozo wa Taiwan na inapaswa kuendelea na mkakati huru mbali na Washington na Beijing. Macron alirejea hivi karibuni akitokea China baada ya ziara ya…

Makamu wa Rais katika ibada ya Pasaka

…………………………………………………………… Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango na Mkewe Mama Mbonimpaye Mpango leo tarehe 09 Aprili 2023 wameungana na waumini wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Mwenyeheri Maria Theresa Ledochowska Kiwanja cha Ndege Dodoma…

Watoto saba wazaliwa mkesha wa Pasaka

Watoto saba wamezaliwa katika mkesha wa Sikukuu ya Pasaka huku katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Morogoro. Hayo yamebainishwa leo Jumapili April 9, 2023 na Kaimu Afisa Mahusiano wa hospitali hiyo, Scolastika Ndunga amesema kuwa watoto saba wamezaliwa katika mkesha…

Dkt.Abbas atangaza ujio wa nyakati tamu na chungu TFS

Katibu MKuu Wizara ya Maliasili na utaliii, Dk.Hassan Abbas amewataka wahifadhi wasiokuwa tayari kutekeleza misingi ya pamoja waliyojiwekea katika kuhakikisha misitu inahifadhiwa nchini kutafuta mahala pengine pa kazi huku akieleza kuwa nyakati tamu na chungu zinakuja. Akizungumza leo Aprili 8,…

Wafariki wakiwasafirisha wahamiaji haramu,Waethiopia 100 wanusurika

Watu wawili wanaohusishwa kuhusika kwenye usafirishaji wa wahamiaji haramu wamefariki dunia baada ya kugongwa na gari iliyokuwa ikisafirisha wahamiaji baada ya ajali iliyotokea katika kijiji cha Mng’elenge Wilaya ya Wanging’ombe mkoani Njombe. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe Hamis Issah…

Rais Samia atoa trilioni mbili kutekeleza miradi Ruvuma

Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha miaka miwili madarakani imetoa zaidi ya shilingi trilioni mbili kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo mkoani Ruvuma. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban…