JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Barrick North Mara, wakandarasi wakabidhi msaada wa vifaa Tarime

Mgodi wa Dhahabu wa Barrick North Mara na wakandarasi wake mgodini wamekabidhi msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 120 katika Kituo cha Afya Sungusungu kilichopo Nyamongo wilayani Tarime. Hafla ya kukabidhi msaada huo imefanyika katika…

Rais Samia apongezwa kuchukua hatua ripoti ya CAG

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Rais Samia Suluhu Hassan amemwagiwa sifa na wananchi na viongozi mbalimbali ndani na nje ya nchi kwa kuchukua hatua za haraka na madhubuti kushughulikia uzembe na ubadhirifu wa pesa za umma uliobainishwa kwenye ripoti ya Mdhibiti…

CAG abaini madudu ukaguzi wa REA 2015/16-2019/20

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere amebaini kuwepo kwa mapungufu ya utandaji umeme vijijini na kuashiria kuwepo kwa mianya ya ubadhirifu wa fedha. Hayo yamebainika katika ripoti yake ambapo katika ukaguzi Mamlaka ya Nishati Vijijini…

Mwenyekiti auawa kwa tuhuma za wivu wa mapenzi Chato

Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Chato Wakati waumini wa dini ya kikristo duniani wakiendelea kusherehekea Sikukuu ya Pasaka, huko wilayani Chato mkoani Geita kumetokea mauaji ya mwenyekiti wa kitongoji cha Mwabazengi, Kata ya Muungano, Robert Msodock, baada ya kukutwa akiwa na…

CHADEMA: Tunahitaji hatua zaidi ripoti ya CAG

Na Tatu Saad, JamhuriMedia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimechambua ripoti ya CAG ambapo wamesema Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kutengua uteuzi wa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ndege za Serikali (TGFA), haitoshi bali hatua zaidi zinatakiwa kuchukuliwa….

13 wafariki baada ya gari walilopanda kutumbukia mtoni Ruvuma

Na Cresensia Kapinga ,JamhuriMedia, Songea Wafanyabiashara 13 wamefariki na wengine wawili wamejuruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kutumbukia mto Njoka wakati wakitoka Ndongosi mnadani kuelekea kijiji cha Namatuhi wilayani Songea mkoani Ruvuma. Akizungumza na waandishi wa habari leo Aprili 10,…