JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Kailima ampongeza Waziri Mhagama

Waziri wa Nchi Ofisi ya waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera Bunge na Uratibu Jenista Mhagama amesema Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu imezingatia vipaumbele muhimu katika maeneo yote yanayoratibiwa na Ofisi hiyo ili kuendelea kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi…

Waziri Mkuu na Waziri Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Slovenia awasili nchini

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Slovenia Tanja Fajon na ujumbe wake amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu. Ziara hiyo inalenga kuimarisha na kukuza uhusiano wa kidiplomasia,kiuchumi na kisiasa kati ya…

‘Serikali haijashindwa kulipa mikopo’

Na Farida Ramadhani, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imeeleza kuwa hakuna mikopo ambayo imeshindwa kulipa katika kipindi cha Awamu zote sita za uongozi. Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Hamad Hassan Chande (Mb), alipokuwa akijibu swali…

‘Upandaji mazai hifadhini ni ukikwaji wa sheria’

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,Mary Masanja ( Mb) ametoa angalizo kwamba kupanda mazao katika maeneo ya Hifadhi ni ukiukwaji wa sheria huku akisisitiza kuwa yeyote atakayebainika kuendesha shughuli za kibinadamu katika maeneo hayo sheria itachukua mkondo wake. Aliyasema hayo…

DART kushiriki kampeni ya upandaji mitimilioni ya Benki ya NMB

Taasisi ya Wakala wa Mabasi yaendayo Haraka (Mwendokasi) – DART wameungana na Benki ya NMB kupitia kampeni yao inayozidi kushika kasi ya Upandaji Miti Milioni kwa mwaka 2023, kwa kupanda miti 1,000 aina ya ‘Jacaranda’ katika ushoroba wa Bus Rapid…

Baba ashikiliwa kwa tuhuma za kumlawiti mtoto wake

Amani Martin mkazi wa Kata ya Nzihi Halmashauri ya Wilaya ya Iringa anashikiliwa na Jeshi la Polisi tuhuma za kumlawiti mtoto wake wa kumzaa mwenye umri wa mwaka mmoja na kumsababishia maumivu makali. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa Allan…