JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

TACAIDS:Tanzania yapunguza maambukizi ya UKIMWI kwa asilimia 88

Imeelezwa kuwa, Tanzania imepunguza maambukizi ya UKIMWI kwa asilimia 88 kutokana na vifo vitokanavyo na UKIMWI kupungua kwa asilimia 50 kutoka vifo 64,000 mwaka 2010 hadi 32,000 mwaka 2020. Hayo yamelezwa jana jioni Jijini Dodoma wakati wa mawasilisho yaliyohusu tathmini…

Ulega: Vituo atamizi fursa ya ajira kwa vijana

Na Mbaraka Kambona, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Abdallah Ulega amesema wizara yake imeanzisha vituo atamizi vya kuwafundisha vijana ufugaji wa kisasa wa mifugo na samaki lengo likiwa ni kujibu changamoto ya ajira kwa vijana iliyopo hapa nchini. Waziri…

Baba amuua mwanaye mlemavu na kumzika porini

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Geita Jeshi la Polisi mkoani Geita linamshikilia Elias Bakumye (32), mkazi wa kijiji cha Chikobe, Kata ya Butundwe Wilaya ya Geita mkoani humo kwa tuhuma za kumuua mwanaye mlemavu wa viungo na kumzika porini. Akithibitisha kutokea kwa…

Rais Samia aridhia msahama wa bil.21.3/- za riba ya malimbikizo ya kodi ya ardhi

Na Munir Shemweta,JamhuriMedia, Mwanza Katika kinachoonekana kuwajali wananchi, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan ameridhia msamaha wa riba ya malimbikizo ya kodi la pango la ardhi ya shilingi Bilioni 21.3 kwa wadaiwa sugu wa kodi…