JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Serikali yafanya mageuzi makubwa shirika la TTCL

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imefanya mageuzi makubwa katika Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kwa kuhamishia shughuli zote za miundombinu ya Mkongo wa Taifa…

TANROADS ipo kazini kunusuru barabara ya Kimange-Chalinze

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Kibaha Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali mkoani Pwani zimesababisha kumomonyoka kwa kingo za kalavati na barabara ya Kimange-Chalinze upande wa kutokea Dar es Salaam. Kutokana na athari hiyo kumesababisha miundombinu hiyo ya barabara kutokuwa salama kwa…

Madereva 109 wafutiwa madaraja ya leseni

Na Mwandishi Wetu-Jeshi la Polisi Jeshi la Polisi mkoani Arusha katika operesheni maalumu ya ukaguzi wa leseni za kuendesha vyombo vya moto na kuwafutia madaraja madereva 109 kwa kukosa sifa za madaraja hayo. Akitoa taarifa hiyo Kamanda wa Polisi mkoani…

Kampeni ya upandaji miti yawa kivutio iftar ya NMB bungeni

Kampeni ya Benki ya NMB ya kuongeza miti milioni moja katika ajenda ya serikali ya kuyatunza mazingira na kupambana na athari za tabia nchi imewakosha wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wakiongozwa na Spika Dkt.Tulia Ackson, wawakilishi…

Kazikazi chapokea pikipiki zenye gharama za milioni 30/-

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia ,Chalinze Kikundi cha bodaboda cha Kazikazi, Kata ya Lugoba ,Chalinze, Bagamoyo Pwani, kimekabidhiwa pikipiki kumi zilizogharimu milioni 30, kutoka Halmashauri ya Chalinze. Mwenyekiti wa Halmashauri ya Chalinze, Hassan Mwinyikondo aliwaasa vijana kujiunga katika vikundi ili waweze…