JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Wafungwa kunufaika na mpango wa bima ya afya kwa wote

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imesema inakamilisha Muswada wa bima ya Afya kwa wote ambapo ukikamilika utakuwa suluhisho ya upatikanaji wa huduma za afya kwa makundi yote ya kijamii. Naibu Waziri wa Afya Dkt.Godwin Mollel amesema hayo bungeni wakati…

Wadau wataka marekebisho zaidi vifungu vya sheria ya habari

Na Stella Aron, JamhuriMedia Wadau wa habari nchini wamependekeza kuongezwa kwa ya vipengele vinavyopaswa kufanyiwa marekebisho kwenye muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Huduma za Habari, ili kuwezesha uwepo wa sheria itakayoleta tija katika sekta ya habari nchini. Miongoni mwa…

Jafo aweka msisitizo taasisi kutumia nishati mbadala

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Pwani Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira,alhaj Dkt.Seleman Jafo amesisitiza matumizi ya Nishati mbadala katika Taasisi za umma na binafsi zenye watu zaidi ya 100 ,ili kuokoa gharama kubwa zinazotumika katika manunuzi ya…

Ummy:Mgao upya wa madaktari bingwa kupunguza changamoto ya huduma

Na Mwandishi Wetu, JamahuriMedia ,Dodoma Waziri wa afya Ummy Mwalimu amebainisha kuwa,katika kukabiliana na changamoto ya upungufu wa madaktari bingwa katika baadhi ya hospitali za Rufaa za Mikoa, Wizara imelenga kugawa upya madaktari bingwa waliopo katika hospitali ili kukabiliana dhidi…

Rais Samia awataka wananchi kuendelea kudumisha amani na utulivu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hajjat.Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka wananchi kuendelea kudumisha amani na utulivu iliyopo Nchini ili kutoa fursa kwa Serikali kuweza kuwaletea maendeleo wananchi wake. Rais Dkt. Samia aliyasema hayo katika Salamu zilizotolewa kwa niaba…

Bunge lapitisha bajeti ya ofisi ya Rais-TAMISEMI trilioni 9.1

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepitisha bajeti ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI),Tume ya Utumishi wa Waalimu, Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa mwaka wa Fedha 2023/2024 shilingi Trilioni 9.1…