JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Dkt. Mpango atoa wito kwa viongozi wa dini

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa waumini na viongozi wa dini hapa nchini kuendelea kuwaombea viongozi wa serikali ili waweze kuongoza taifa vile inavyompendeza Mungu. Makamu wa Rais amesema hayo leo…

Tanzania kushirikiana na Korea Kusini kujenga shule ya filamu

Na Shamimu Nyaki – WUSM Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Balozi Dkt. Pindi Chana amesema kuwa, Aprili 24, mwaka huu, Wizara kwa kushirikiana na Bodi ya Filamu inatarajia kusaini makubaliano Maalum (MoU) na Wataalam kutoka Korea Kusini kwa ajili…

DC Same aagiza madarasa yaliyoezuliwa paa na upepo yabomolewe

Mkuu wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro Kasilda Mgeni amemtaka Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo kupitia wataalam wake kwenda kubomoa kitaalamu majengo ya madarasa matano ya shule ya Msingi Kalemane iliyopo kwenye Kata ya Maore baada ya kuezuliwa na upepo ulioambatana…

Waziri Mhagama ahimiza ubora ujenzi mnara wa mashujaa

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Jenista Mhagama amewataka wataalam kushirikiana na wakandarasi ili kuhakikisha ujenzi wa Mnara wa Mashujaa unakamilika katika viwango vyenye ubora. Mhagama ameyasema hayo wakati wa kikao chake na Wataalam, Wakurugenzi…

Rais Mwinyi aiasa jamii kujiepusheni na vitendo viovu

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaendelea kutoa ushirikiano kwa taasisi mbalimbali zinazowahudumia mahujaji wanaokwenda Makka, Saudia Arabia kutekeleza ibada ya hijja baada ya kukamilika kwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Ameyasema…