JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

TIA, GEL zasaini mkataba kutafuta fursa nje ya nchi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Taasisi ya  Uhasibu Tanzania (TIA), imesaini mkataba na wakala wa vyuo vikuu nje ya nchi Global Education Link (GEL), lengo ikiwa ni kushirikiana kuitafutia taasisi hiyo fursa za wanafunzi na wahadhiri kwenye vyuo vikuu vya nje….

Radi yaua mwanafunzi akiwa darasani, 44 wajeruhiwa Nachingwea

Na Fredy Mgunda, JamhuriMedia, Nachingwea Mwanafunzi wa kidato cha nne katika shule ya sekondari Kipaumbele , Alex Justine (18), wilayani Nachingwea amefariki baada ya kupigwa na radi akiwa darasani akifanya mtihani wa kujipima kwa ngazi ya wilaya. Akidhibisha kutokea kwa…

Serikali kuendelea kutoa mafunzo ya uzoefu kwa vijana

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu,Prof.Joyce Ndalichako, amesema serikali imeendelea kuwapatia mafunzo ya uzoefu kazini vijana ikiwamo wanaohitimu masomo yao nje ya nchi. Amesema Ofisi hiyo kupitia Kitengo…

Serikali kuwasomesha wataalamu ili kupambana na magonjwa ya saratani

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Katika kuboresha upatikanaji wa huduma za matibabu ya saratani nchini,Serikali kupitia Wizara ya Afya ipo mbioni kuanza kuwasomesha wataalamu wa afya ili kuwapeleka katika hospitali za mikoa . Aidha itahakikisha hospitali zote za Rufaa za…

RC Kunenge:Tanzania ina kila sababu ya kujivunia ilivyoweza kulinda muungano

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Tanzania ina kila sababu ya kujivunia namna ambayo imeweza kulinda na kuudumisha Muungano wetu. Mkuu wa Mkoa wa Pwani,alhaj Abubakar Kunenge alitoa kauli hiyo wakati akifungua Kongamano la miaka 59 ya Muungano wa Tanzania, lililofanyika…

Sekta ya utalii yaunganishwa na mifumo ya kielektroniki ya utoaji leseni

Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imeunganisha mifumo ya utoaji leseni katika Sekta ya Utalii kupitia mfumo wa kieletroniki wa MNRT – Portal kwa lengo la kuongeza tija katika utoaji wa huduma na kurahisisha mchakato wa utoaji wa leseni…