JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Majaliwa:Serikali imetenga bil.9.9 za ujenzi wa vituo saba vya zimamoto na uokoaji

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imetenga shilingi bilioni 9.93 katika bajeti ya mwaka 2023/2024 kwa ajili ya kukamilisha miradi ya ujenzi wa vituo saba vya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji. Amesema kuwa vituo hivyo vitajengwa katika Mikoa ya Songwe,…

Hatimaye, ndoto ya mtoto Hamimu ya kukutana na Rais yatimia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Hayawi, hayawi… sasa yamekuwa. Ndoto ya mtoto Hamimu Mustapha Baranyikwa (15) aliyokuwa akiililia kwa muda mrefu ya kukutana na Rais Samia Suluhu Hassan hatimaye imetimia. Hamimu, ambaye alilazwa kwenye Hospitali ya Taifa ya…

Waziri Jafo aasa Watanzania kudumisha amani ili kuenzi muungano

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) ameongoza wananchi wa Mkoa wa Iringa katika kuadhimisha miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kuhimiza Watanzania kuuenzi Muungano kwa kudumisha Amani. Akizungumza na wananchi wa mkoa…

Possi:Mafunzo ni muhimu hususani kwa watalamu anga na majini

Na David John, JamhuriMedia, Dar Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi Dkt.Ally Possi amefungua warsha ya siku tano kwa watendaji na wataalamu wanaofanya kazi na Shirika la Uwakala wa Meli nchini (TASAC) katika ukumbi wa kimataifa wa Mikutano…