JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Yaliyojiri ziara ya Katibu Mkuu CCM China

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi, Ndg. Daniel Godfrey Chongolo, pamoja na ujumbe wake Tarehe 17 hadi 28 Aprili, 2023 amefanya Ziara ya Kikazi na Mafunzo nchini China, ambapo walitembelea majimbo matatu (3) ikiwemo Beijing, Hebei, na Guandong. Ziara hii…

Ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kumbaka mtoto wa kufikia

Mahakama ya Wilaya ya Kibaha Mkoani Pwani imemuhukumu Dickson Chilongola (37) kabila Mkaguru ambaye ni fundi wa kuchomelea vyuma ambaye ni mkazi wa Zegereni Mlandizi Wilayani Kibaha Mkoani Pwani hukumu ya kwenda jela maisha , viboko 12 na kulipa fidia…

NMB yashiriki wiki ya ubunifu 2023 Dodoma

Meneja wa Benki ya NMB Kanda ya Kati – Nsolo Mlozi akimueleza Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule alipotembelea banda lao kuhusu masuluhisho yao ya kidijitali katika viwanja vya Jamhuri jijini Dodoma. Wafanyakazi wa benki ya NMB wakiwa kwenye…

Majaliwa:Itumieni kampeni ya huduma ya msaada wa kisheria ya mama Samia

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Watanzania kuitumia kampeni ya Huduma ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia kutoa taarifa kuhusu uwepo wa watu, au vikundi vya watu ambao ama wanajihusisha na ukatili wa kijinsia hususan kwa watoto. Ametoa wito huo…

Maamuzi magumu ya Rais yalivyookoa Watanzania 200 Sudan

*Aagiza operesheni maalumu iliyofanikisha kuwarejesha Watanzania nyumbani * Tanzania pia ilisaidia kuokoa raia wa mataifa mengine, ikiwemo Marekani, Uingereza, Kenya, Uganda, Sierra Leone, Malawi, Zambia na Msumbiji Ujasiri, maamuzi magumu na ya haraka ya Rais Samia Suluhu Hassan yamefanikisha kuokolewa…

Waziri Mkuu atoa maagizo kuimarisha uhifadhi endelevu

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amelitaka Jeshi la Polisi kuchunguza matukio yote yaliyotolewa taarifa kuhusu kuteswa, kuumizwa na kuuawa kwa baadhi ya Wananchi waliotuhumiwa kuingia ndani ya hifadhi na watakaobainika wachukuliwe hatua stahiki. Ametoa agizo hilo leo Alhamisi (Aprili 27, 2023)…