JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

The Royal Tour yatimiza mwaka mmoja

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma. Filamu ya Tanzania The Royal Tour imetimiza mwaka mmoja tangu ilipozinduliwa Aprili 28 mwaka jana Jijini Arusha huku ikielezwa kuleta matunda kwa Taifa ikiwemo kuongezeka kwa idadi ya watalii na mapato kwa Serikali  Katibu Mkuu…

Rais Samia aongeza fedha za motisha kwa timu za Yanga na Simba kutoka Milioni 5 hadi 10 kwa goli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameamua kuongeza fedha za motisha kwa timu za Simba na Yanga kutoka shilingi Milioni 5 hadi Shilingi Milioni 10 endapo timu hizo zitafuzu kucheza nusu fainali ya Ligi ya…

Polisi Shinyanga wakamata watuhumiwa 132 kwa uhalifu

Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga kupitia kitengo cha upelelezi kwa kipindi cha mwezi mmoja kuanzia Machi 22,2023 hadi Aprili 26,2023 limefanikiwa kukamata na kuwafikisha mahakamani watuhumiwa 132 . Akitoa taarifa hiyo kwa wanahabari Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani…

Bilioni 4.65 kutumika kuboresha uzalishaji NARCO

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi katika mwaka wa fedha,2022-2023,imetenga Sh 4.65 bilioni kwa ajili ya kuboresha na kuongeza uzalishaji katika ranchi za Kongwa na Mzeri. Mtendaji Mkuu wa Kampuni za Ranchi za Taifa-…

COSTECH yataka Watanzania kuunga mkono bunifu za vijana

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma. TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH)imewataka watanzania kutumia bunifu zinazoibuliwa na vijana kwa lengo la kutoa hamasa na kuziendeleza hali itakayosaidia kutatua baadhi ya kero kwenye jamii . Mkurugenzi Mkuu (COSTECH) Dk.Amos Nungu,…

TMA yatoa angalizo la mvua kubwa kwa mikoa nane

Mahakama ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imetoa angalizo la uwepo wa mvua kubwa katika mikoa nane itakayonyesha kwa siku tatu kuanzia kesho Aprili 29 hadi Mei Mosi 2023. Taarifa iliyotolewa na TMA leo Aprili 28, 2023 angalizo hilo la…