JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Ummy: Chukueni tahadhari ya ugonjwa wa kipindupindu wakazi Dar

Na WAF – Dar es Salaam Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amewataka wananchi kuchukua tahadhari juu ya uwepo wa mlipuko wa ugonjwa wa Kipindupindu Jijini Dar es Salaam. Waziri Ummy ameyasema hayo baada ya kutoa taarifa kuhusu hali ya ugonjwa…

Watoto 37 wafariki kipindi hiki cha mvu, Polisi watoa tahadhari

Na Abel Paul Jeshi la Polisi nchini limetoa tahadhari kwa wananchi wanaotumia vibaya mitaandao ya kijamii hasa kipindi hiki cha mvua zinazoendela kunyesha ambapo limesema kuanzia Januari hadi Aprili, mwaka huu kumejitokeza matukio ya watoto kufa maji kwa kusombwa na…

Serikali kuimarisha usalama na afya mahala pa kazi

Mtendaji Mkuu wa OSHA, Khadija Mwenda akieleza jambo wakati wa hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Usalama na Afya Mahala Pa Kazi iliyofanyika kwenye viwanja vya Tumbaku, Mkoani Morogoro. Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), Bw….

Kongamano la kibiashara uwekezaji Malawi, Tanzania kufungua biashara zaidi

Na David John, JamhuriMedia Wizara ya Uwekezaji Viwanda na Biashara kwa kushirikiana na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) na Ubalozi wa Tanzania-Malawi, Kituo cha Uwekezaji (TIC), Sekta Binafsi, TCCIA na TWCC imeratibu Kongamano la Kibiashara kati ya Malawi…

Mamlaka ya Serikali Mtandao kutumia Mifumo ya Tehama kuboresha utendaji kazi

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa kushirikiana na Mamlaka ya Serikali Mtandao ( e-GA) imejipanga kutumia mifumo ya teknolojia kurahishisha utendaji kazi wa watumishi wa umma. Hayo yameelezwa leo Aprili 28,2023…

Makamu wa Rais atoa wito kwa Jeshi la Polisi kujitathmini

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa Jeshi la Polisi nchini kujitathmini mara kwa mara ili kuwa tayari kukabiliana na changamoto za nyakati hizi za mabadiliko makubwa kiteknolojia na kiuchumi. Makamu…