JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

TANAPA yatoa mafunzo matumizi ya ndege zisizo na rubani

……………………….. Watumishi wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), 16 kutoka kada ya Mifumo ya kijiografia (GIS), Ulinzi, Usalama wa Anga, na Mawasiliano wamepatiwa mafunzo ya matumizi ya ndege nyuki “Drone” pamoja na mifumo mbalimbali ya uendeshaji ndege zisizo…

Biashara kati ya Tanzania na Ufaransa yaongezeka

……………………………… Ukuaji wa biashara kati ya Tanzania na Ufaransa umeongezeka kutoka kiasi cha shilingi billioni 27.8 kwa mwaka 2015 hadi bilioni 94.5 kwa mwaka 2022. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb.)…

‘Hakuna haki bila uwajibikaji katika utumishi wa umma’

………………………. Watumishi wapya kutoka Ofisi ya Wakili Mkuu Mkuu wa Serikali wametakiwa kuwajibika ipasavyo katika kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao kwa weledi kwa kuwa hakuna haki bila uwajibikaji katika Utumishi wa Umma. Hayo yamesemwa tarehe 4 Mei, 2023 na Naibu Wakili…

Wanne wa familia moja wafariki kwa kuungua na moto

Watu wanne wa familia moja Kijiji cha Malola B Kata ya Malola Tarafa ya Mikumi Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro wamefariki baada ya nyumba waliokuwa wakiishi kuungua moto usiku wa kuamkia Mei 5, 2023. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa…