JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Lisu ataka waliompiga risasi kuendelea kutafutwa

Na Dotto Kwilasa, JAMHURI MEDIA, Dodoma. Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA)Tundu Lissu amefika katika kituo kikuu cha Polisi Dodoma kuona gari alilokuwemo ndani yake wakati akishambuliwa September 7,2017 Jijini hapa eneo la Area D. Ikiwa imepita…

Serikali kutoa kifuta jasho waliovamia shamba la Utegi Rorya

Na Munir Shemweta, JamhuriMedia, Rorya Serikali itatoa fidia ya kifuta jasho cha maendelezo kwa wananchi watakaobainika kuvamia eneo la shamba la Utegi lililopo wilayani Rorya mkoani Mara baada ya kufanyiwa utambuzi. Eneo lililovamiwa lina ukubwa wa hekta 476.52 na kujumuisha vitongoji vya Kibinyongo, Mabatini,…

Mahakama Kanda ya Kigoma yajitathmini kiutendaji

Na Aidan Robert, JamhuriMedia, Kigoma Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Kigoma Mhe. Lameck Michael Mlacha ameongoza kikao cha Menejimenti katika Kanda hiyo kufanya tathmini ya utendaji kazi kwa robo mwaka ya Januari hadi Machi,2023 lengo likiwa…

REA yakutana na wadau wa maendeleo

Wakala wa Nishati Vijijini (REA),katika bajeti ya mwaka wa fedha 2023/2024 umepanga kutumia sh bilioni 784 .84 kati ya hizo Sh bilioni 756.19 ni kwa ajili ya miradi ya umeme vijijini na Sh bilioni 28.65 ni kwa masuala ya uendeshaji…

TCRA:Rukwa kinara wizi wa fedha kwa njia mtandao

Na Wilson Maliama, JAMHURI MEDIA Makoa wa Rukwa umetajwa kuwa kinara wa wizi wa fedha  kwa njia ya mtandao kwenye simu unaofanywa na watu wasio waaminifu huku watumiaji wa mtandao wa Tigo ndiyo wakionekana kuibiwa kwa wingi kuliko mitandao mingine…