JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

TAWA wafanikiwa kumuua fisi aliyeua watu wawili Lindi

Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imefanikiwa kumuua fisi aliyeua watu wawili na kujeruhi watano (5) katika Wilaya ya Lindi Vijijini mkoani Lindi. Kamanda wa Uhifadhi wa Kanda ya Kusini Mashariki, Abraham S. Jullu amesema mnamo tarehe 11 Mei,…

Mwenge wa Uhuru wasisitiza utunzaji vyanzo vya maji bonde la Wami Ruvu

Mwenge wa Uhuru mwaka 2023 umesisitiza kuimarishwa kwa usimamizi katika utekelezaji wa sheria kulinda maeneo ya hifadhi za vyanzo vya maji, ikielezwa kwamba athari za mabadiliko ya tabia nchi zimekuwa zikionekana maeneo mengi zaidi nchini. Hayo yameelezwa ikiwa ni mwendelezo…

Serikali kugharamia mazishi ya wanafunzi waliokufa Bahi

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rose Senyamule amepiga marufuku magari ya mizigo kutumika kubeba abiria katika mkoa huu ili kunguza ajali zinazosababisha vifo ambavyo vinaweza kuzuilika. Hatua hiyo ni kufuatia ajali iliyoua wanafunzi wawili jana Mei…

Tanzia:Banard Membe afariki Dunia

Na Mwandishi Wetu JAMHURI MEDIA Aliyewahi Kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Camilius Membe amefariki dunia leo asubuhi Katika Hospitali ya Kairuki Mikocheni Jijini DSM. Taarifa za awali kutoka vyombo mbalimbali vya habari zinaeleza kuwa…

Rais Mwinyi apokea Ripoti ya CAG

………………………. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amepokea ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Ikulu, Zanzibar. Akipokea ripoti hiyo Rais Dk. Mwinyi amemuomba Waziri wa Nchi Ofisi ya…

Wanafunzi wawili wafariki, 31 wajeruhiwa wakienda kwenye UMISETA Dodoma

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma. Mganga mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma, Dk. Ernest Ibenzi amethibitisha kupokea miili ya wanafunzi wawili wa shule ya Sekondari ya Mpalanga wilayani Bahi mkoani Dodoma waliokufa katika ajali ya lori aina…