JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Le Mutuz’ afariki

Mmiliki wa ‘Le Mutuz’ Blog, William Malecela, maarufu kama Mr. Super Brands amefariki dunia leo Mei 14, 2023 jijini Dar es Salaam Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na Msanii Steve Nyerere Taarifa zaidi zitakujia hivi punde

Wafugaji wanaotorosha mifugo nje ya nchi waonywa

Na Mwandishi Wetu -Jeshi la Polisi Wafugaji wanaotorosha mifugo yao kwenda nje ya nchi bila kufuata utaratibu uliowekwa na Serikali wametakiwa kuacha vitendo hivyo kwani hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yao. Kamanda wa Kikosi cha Kuzuia Wizi wa mifugo nchini…

TTCL, UCSAF kusogeza huduma za mawasiliano vijijini

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma. Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Mhandisi Peter Ulanga amesema Serikali kupitia Shirika hilo inatarajia kujenga minara 54 kwenye Kata 104 na vijiji huku wakiendelea kutoa huduma hiyo kwa Kata 130 na kueleza…