JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

TAKUKURU Ruvuma yabaini mapungufu miradi mitano ya maendeleo

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma imebaini mapungufu katika utekelezaji wa miradi mitano ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 5.5. Akitoa taarifa ya utendaji kazi wa TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma katika kipindi…

Rais Samia ateua majaji sita,wamo wanawake

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan, amewateua Majaji sita wa Mahakama ya Rufaa kati yao wawili ni wanawake. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Mei 18, 2023 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu Zuhura Yunus, amesema…

Rais Samia awaita wafanyabiashara EAC

Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Chato Rais Samia Suluhu Hassan amewaarika wafanyabiashara wa nchi wanachama wa Afrika Mashariki (EAC) kutumia bandari ya Nyamirembe Chato mkoani Geita kusafirisha mizigo yao kwa gharama nafuu na kwa haraka zaidi. Mbali na hilo,Mamlaka ya Usimamizi…

Kata ya Mkwawa watoa msaada wa mil.15/- kwa Sekondari ya Matogoro Songea

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMediia, SongeaDiwani wa Kata ya Matogoro iliyopo Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma Issa Mkwawa kwa kushirikiana na uongozi wa kata hiyo wametoa msaada wa viti na meza 302 vyenye thamani ya sh.milioni 15 katika shule ya Sekondari…

Majaliwa aunda kamati ya watu 14 mgogoro wa wafanyabiashara Kariakoo

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameunda tume ya watu 14 ambayo itachakata kero na mapendekezo ya wafanya biashara wa soko la kimataifa la Kariakoo. Ameunda tume hiyo leo Jumatano (Mei 17, 2023) wakati alipozungumza na wafanya biashara wa soko hilo katika…

Mwenge wa uhuru waridhishwa na ujenzi wa mradi wa Kongani KAMAKA

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mwenge wa Uhuru,umepitia na kuridhishwa na mradi wa ujenzi wa Kongani ya viwanda ya KAMAKA ,Disunyara, Kibaha Vijijini Mkoani Pwani, ambapo hadi kukamilika itatumia gharama ya Trilioni 3.1 na kutoa ajira 200,000. Akitembelea mradi huo,…