JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Majaliwa: Nishati safi ya kupikia ni kipaumbele cha Serikaki

Teresia Mhagama na Zuena Msuya ya WaziriI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa, suala la upatikanaji wa nishati safi ya kupikia ni moja ya vipaumbele vya nchi na kwamba Serikali inahakikisha kuwa uandaaji wa Dira na Mpango Mkakati wa matumizi ya…

Tanzania yaandika historia mpya

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Mei 20, 2023 ameandika historia mpya ya Tanzania kwa kuzindua Majengo mapya ya Ikulu ya Chamwino Jijini Dodoma akishuhudiwa na mamia ya Watanzania pamoja na wageni mbalimbali kutoka…

Kanisa la TAG lauza nyumba ya muumini kwa kushindwa kulipa riba

Na Andrew Chale, Dar es Salaam Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), kupitia taasisi yake ya mikopo ya Uwezo Financial Service Limited (UFSL) limedaiwa kuuza nyumba ya muumini wake kwa kushindwa kulipa riba iliyopanda bila kuzingatia sheria mamlaka za…

Bunge lapitisha kwa kishindo bajeti ya Wizara ya Habari

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeidhinisha Bilioni 215.25 ikiwa ni Mpango na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kwa Mwaka wa Fedha 2023/24.. Aidha Wizara…

Watendaji sekta ya afya wanaokwamisha maono ya rais hawatafumbiwa macho

Na Mwanfishi Wetu. JamhuriMedia, Mwanza Serikali Kanda ya Ziwa imesema haitawafumbia macho watendaji wa sekta ya afya wanaokwamisha jitihada za Rais Dk. Samia Suluhu Hassan katika maboresho sekta ya afya. Akizungumza leo Mei 19, 2023 katika kikao kazi cha watendaji…