JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Majaliwa: Tutauenzi mchango wa wakili Nimrod Mkono

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali inatambua na kuthamini mchango mkubwa uliotolewa na aliyewahi kuwa Mbunge wa Butiama mkoani Mara, Marehemu Wakili Nimroad Mkono na kwamba itaendelea kumuenzi kwa kazi nzuri alizofanya. “Serikali imepoteza mtu muhimu, itaendelea kutambua mchango alioutoa…

Chongolo: Watanzania wanamnyima usingizi Rais Samia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Iringa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo amesema matamanio ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ni kuona changamoto za wananchi kwenye maeneo yao zinatatuliwa na kuleta matokeo chanya kama ilivyokusudiwa. Chongolo ametoa kauli…

Tembo Nickel kuanza uzalishaji 2026

Asteria Muhozya na Steven Nyamiti , JamhuriMedia, Dodoma Imeelezwa kuwa, Kampuni ya Tembo Nickel Corporation Ltd, inatarajia kuanza uzalishaji wa Madini ya Nikeli ifikapo mwaka 2026. Hayo yamebainishwa na Meneja Mkazi wa Kampuni ya Tembo Nickel Benedict Busunzu katika Semina…

Baraza la vyama vya siasa kufanya mkutano Agosti mwaka huu

Na Mussa Augustine, JamhuriMedia Baraza la Vyama vya Siasa nchini limeazimia kufanya mkutano mkubwa wa Baraza la Vyama Vya Siasa utakaoshirikisha wadau mbalimbali wa siasa kwa ajili ya kujadili taarifa ya Kikosi kazi ambacho kiliundwa na Rais wa Jamhuri ya…