JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Chongolo apokelewa na vilio Kilolo, atoa siku 10 kwa Waziri Aweso

Na Mwandishi wetu,JamhuriMedia,Kilolo Wananchi wa Kijiji cha Uhambingeto, Jimbo la Kilolo mkoani Iringa, wamempokea Katibu Mkuu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Daniel Chongolo kupokelewa na wananchi kwa kilio kwa kudai kukwama kwa mradi wa maji. Kilio hicho kimekuja wakati diwani…

Mbunge Kabati: Wanawake tushirikiane kumuunga mkono Dkt.Samia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Iringa Wito umetolewa kwa wanawake wote nchini, kushikamana kwa kuhakikisha wanamuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika jitihada zake mbalimbali za kuwainua wanawake kiuchumi. Wito huo umetolewa na Mbunge…

Serikali kuimarisha ushirikiano sekta ya kilimo, maliasili

……………………………………………………………………………… Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo, Seif Shaaban Mwinyi, amesema serikali zote mbili za Tanzania na taasisi zake zitaendelea kuimarisha mashirikiano ili ziweze kuleta maendeleo nchini. Akizungumza katika hifadhi ya Msitu Pugu kanda ya Mashariki wilaya…