JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Jaji Makungu ateuliwa kuwa Jaji Mahakama ya Afrika Mashariki

Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia Jaji wa Mahakama ya Rufani ya Tanzania, Omar Othman Makungu ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Haki ya Afrika Mashariki, Divisheni ya Rufani. Uteuzi huo ambao umefanyika mjini Bujumbura, Burundi katika Mkutano wa Marais wa Nchi…

Jafo: Athari za mazingira zimesababisha mfumuko wa bei

……………………………………………………………….. Imeelezwa athari za kimazingira nchini zimechangia  kupanda kwa bei ya vyakula ikiwemo unga wa mahindi kutoka na kukosekana kwa mvua na hata maeneo ilikonyesha ilikuwa ni chini ya wastani. Hayo yameelezwa leo Juni 1,2023 jijini Dodoma na Waziri wa Nchi…

Waziri Mkuu atoa maagizo kwa Waziri wa Madini

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amemuagiza Waziri wa Madini, Dkt. Dotto Biteko afuatilie taasisi za fedha zinazowakopesha wachimbaji wadogo kwa kuangalia viwango vya riba vinavyotolewa na aina ya shughuli wanazozifanya wajasiriamali hao ili kurahisisha urejeshwaji wa mikopo. Ameyasema hayo leo (Alhamisi,…

Serikali yawakaribisha wawekezaji wa Burundi kuwekeza nchini

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amewakaribisha wawekezaji kutoka nchini Burundi kuwekeza Tanzania kutokana na mazingira bora ya biashara yaliopo na kwamba Tanzania ni sehemu salama ya kuwekeza mitaji yao. Makamu wa Rais amesema…

Waziri Tax afanya mazungumzo na Balozi wa Urusi nchini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Stergomena Tax (Mb.) amekutana kwa mazungumzo na Balozi wa Shirikisho la Urusi nchini, Andrey Avetisyan katika ofisi za Wizara Jijini Dodoma leo Mei 31, 2023. Katika mazungumzo hayo, viongozi…