JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Chikota ataka kasi usambazaji wa gesi asilia majumbani

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Mbunge wa Nanyamba (CCM), Abdallah Chikota ameshauri serikali kuendelea kutenga fedha kwa ajili ya usambazaji wa nishati ya gesi asilia majumbani ili kupunguza matumizi ya kuni kwa wakazi wa Lindi na Mtwara. Chikota akichangia hotuba ya…

Mtatiru aishukia Serikali mradi wa umeme wa upepo

Na.Mwandishi Wetu-DODOMA Mbuge wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu ameiomba serikali kuimarisha upatikanaji wa umeme wa uhakika katika Wilaya ya Manyoni na Ikungi zilizopo Mkoani Singida ili kuondoa adha ya kukatika mara kwa mara katika maeneo hayo. Mbunge Mtaturu ametoa ombi…

Rais kuongoza Watanzania kupokea ndege mpya ya mizigo

Serikali inatarajia kupokea ndege ya kwanza ya kusafirisha mizigo aina ya Boeing 767 -300 mnamo tarehe tatu Juni itakayokwenda kutatua changamoto za usafirishaji wa mizigo kwa wafanyabiashara nchini. Akizungumza na Waandishi wa habari leo Juni 1,2023 Jijini Dar es Salaam,…

Majaliwa: Rais Samia Dkt.Samia atoa vibali ajira sekta ya afya

Na Lilian Lundo, JamhuriMedia-MAELEZO Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa vibali kwa Wizara ya Afya na Mamlaka za Serikali za Mitaa kuajiri watumishi wa sekta ya afya ili kuwapeleka katika zahanati, vituo vya afya…

Serikali kutumia trilioni 4.20 ujenzi vituo vya kupoza umeme kila wilaya

Na Jacquiline Mrisho, JamhuriMedia- MAELEZO Mradi wa Ujenzi wa Vituo vya Kupoza Umeme katika kila wilaya nchini unakadiriwa kutumia jumla ya shilingi trilioni 4.20 ambazo zitatolewa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Akiwasilisha Hotuba ya Bajeti ya Makadirio…

Serikali yathibitisha visa 64 vya UVIKO -19

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Serikali imesema katika kipindi cha kuanzia Aprili 22 hadi Mei 26,2023 jumla ya visa vipya 64 vilithibitika kuwa na maambukizi ya UVIKO -19 ikilinganishwa na visa vipya 45 vilivyothibitika wiki nne zilizopita,idadi hii ni sawa na…