JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Ndomba aishauri jamii kutumia bidhaa zinazotengenezwa nchini

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Jamii imeshauriwa kutumia bidhaa zinazotengenezwa ndani ya nchi ili kuimarisha viwanda na kujenga uchumi wa nchi badala ya kuagiza bidhaa kutoka nje ya nchi. Wito huo umetolewa jana na Mwenyekiti wa Bodi ya kampuni ya…

Katibu Mkuu nishati afanya mazungumzo na mwakilishi mkazi wa IMF

Teresia Mhagama na Godfrey Mwemezi Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba amekutana na kufanya mazungumzo na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) nchini Tanzania, Jens Reinke na watendaji wengine wa Shirika hilo ambapo kikao…

Tume ya haki za binadamu yakamilisha uchunguzi dhidi ya kifo cha mwanafunzi UDOM

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Hatimaye Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB)i mekamilisha uchunguzi wake huru kuhusu kifo cha Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) Nusura Abdallah na kueleza kuwa hakihusiani na ajali iliyotokea usiku wa…

Vituo vya utayari Pwani vyaleta mafanikio kwa watoto wa wafugaji

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mazingira ya elimu yanafaa kuboreshwa na kuwa na miundombinu rafiki ,kuanzia Ngazi ya awali ili kufikia safari ya elimu ya msingi hadi ngazi za vyuo vikuu. Hatua hii ni njema kwakuwa mafanikio ya watu wengi…

Serikali yabainisha mikakati ya kupambana na changamoto utoaji mimba usio salama

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia-WF,Dodoma Naibu Waziri wa Afya Dkt.Godwin Mollel amebainisha juhudi zinazofanywa na Wizara ya Afya katika mapambano dhidi ya changamoto ya utoaji mimba usio salama ikiwemo, kutoa elimu juu ya afya ya uzazi kwa watoto wa kike ambao…

TSC kuwasaidia walimu kuielewa sheria ya Tume wa Walimu sura 448 na kanuni zake

Katibu Tawala Msaidizi wa Mkoa wa Katavi anayeshughulikia elimu, Mwl. Pendo Rweyemamu akitoa neno wakati wa kikao kazi cha kupitia rasimu ya ufafanuzi wa Sheria ya Tume ya Utumishi wa Walimu Sura 448 na Kanuni zake za mwaka 2016. Kikao…