JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Peramiho wahimizwa kurasimisha biashara zao BRELA ili kupata fursa mbalimbali

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera  Bunge na Uratibu) na Mbunge wa Jimbo la Perahimo,  Jenista Mhagama amewataka wananchi  wa Jimbo hilo kurasimisha biashara zao ili kwenda na wakati na kujiletea maendeleo ya…

TPA yaweka wazi mikakati kuimarisha ushirikiano na nchi jirani zinazotumia Bandari ya Karema

Na Mwandishi Wetu, Katavi Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imefanya jitihada mbalimbali za kufanya vikao na wadau mbalimbali wakiwemo wafanyabiashara kutoka nchi jirani ambazo zinatumia bandari ya kimkakati ya Karema. Lengo la kufanyika kwa vikao hivyo ni kuendeleza…

Rais Dkt. Samia awaalika Yanga kwa chakula cha jioni kesho Jumatatu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kesho Juni 5, 2023 ameialika timu ya Dar es Salaam Young Africans (Yanga) kwa chakula cha jioni Ikulu, Jijini Dar es Salaam kwa lengo kuipongeza kwa kufanya vizuri katika…

Waziri Dkt.Tax amwakilisha Rais mkutano wa ICGLR

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb) amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa 10 wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali…

Serikali kuwachukulia hatua watumishi walioshindwa kujibu hoja za CAG Z’Bar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriiMedia, Zanzibar Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itawachukulia hatua za kisheria watumishi kutoka taasisi na mashirika ya Umma walioshindwa kutoa majibu kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) katika ripoti ya mwaka wa…

Wizara kushirikiana na wafanyabiashara wakubwa wa madini

Serikali inatambua umuhimu wa Sekta binafsi katika mchango wake kwenye Sekta ya Madini na inapongeza juhudi za sekta hiyo katika kuwekeza kwenye Sekta ya Madini ili kuongeza mchango katika Pato la Taifa. Lengo la kukutana ilikuwa ni kuifanya Sekta ya…