JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Bajeti ya Wizzra ya Maliasili na Utalii yapitishwa

Makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii imepitishwa hivi leo bungeni ikiwa na mikakati madhubuti ya kuendeleza, kuimarisha shughuli za Uhifadhi na Utalii. Akijibu hoja za Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii,Mohamed Mchengerwa (MB) alisema “Niwahakikishie wabunge…

Tunduru yaanza msako wagonjwa wa kifua kikuu waliokatisha dozi

Hospitali ya Wilaya Tunduru mkoani Ruvuma kupitia kitengo cha kifua kikuu na ukoma,imeanza msako wa kuwatafuta watu wote waliobainika kuwa na maambukizi ya ugonjwa kifua kikuu ambao wameacha kuendelea na matibabu na hawajulikani walipo. Msako huo unawahusisha wataalam wa kitengo…

Shirika la Akili Platform lashiriki Siku ya Mazingira Duniani kwa kutoa elimu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Shirika la Akili Platform Tanzania linalojiusisha na afua ya Afya ya Akili, mazingira na haki za binadamu Tanzania leo Juni 5 , 2023 Siku ya Mazingira Duniani wameshiriki kwa vitendo katika kutunza mazingira kwa kufanya usafi…

Sayansi na Teknolojia kuchochea maendeleo nchini

Na Immaculate Makilika , JamhuriMedia, MAELEZO Serikali imesema kuwa imejipanga kuhakikisha sayansi na teknolojia inatumika ili kuleta chachu katika maendeleo nchini. Akizungumza na Wahariri wa Vyombo vya Habari leo Jijini Dar es Salaam, kuhusu Kongamano la Kitaifa la Nane la…