JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Wanafunzi wa St Joseph Dar wabuni Satellite

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Wanafunzi na wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Joseph cha jijini Dar es Salaam, wamebuni Satellite ambayo hadi kukamilika kwake itagharimu Dola za Marekani 250,000. Wanafunzi hao ni Steven Makunga, David Seng’enge na Doris Ndaki wanaosoma…

Pwani yapunguza changamoto ya kutojua kusoma, yanne kitaifa

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Pwani Kusoma Kuandika na Kuhesabu (KKK) vinategemeana na endapo hutojua Kusoma Kuandika ama Kuhesabu basi mwendo wa elimu huwezi kuufikia. Kutokana na hilo, sekta ya elimu mkoa wa Pwani imejiwekea mikakati mbalimbali ya kuongeza nguvu mwaka 2023-2024 kupunguza…

Kagame awafuta kazi wanajeshi 200

Rais wa Rwanda Paul Kagame amewafuta kazi Meja Jenerali Aloys Muganga, Brigedia Jenerali Francis Mutiganda na maafisa 14 wa Jeshi la Ulinzi la Rwanda (RDF). Pia ameidhinisha kutimuliwa kwa wanajeshi 116 wa vyeo vingine na kuidhinisha kusitishwa kwa kandarasi za…

Waziri Mchengerwa uso kwa uso na Trump Jr Tanzania

Na Mwandishi Wetu Jamhuri Media Waziri wa Maliasilina Utalii, Mohammed Mchengerwa, jana Mei 6, 2023, amekutana na kufanya mazungumzo na mtoto mkubwa wa kiume wa Rais Mstaafu wa Marekani, Donald Trump, Donald Trump Junior, aliyeko nchini kufanya “Royal Tour.” Katika…

Gwajima aitaka jamii kuwajibika kuwalinda wazee

Na WMJJWM, Dodoma Wakuu wa Mikoa wameombwa kuhakikisha elimu ya kina inatolewa kwa wananchi juu ya haki, ulinzi, usalama na ustawi wa wazee. Maelezo hayo yametolewa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu Dkt. Dorothy Gwajima…

Fedha za kulipa deni la serikali zaongezeka kutoka Tril 9.1 hadi Tril 10.4

Serikali imeongeza fedha kwa ajili ya kulipa madeni kutoka Sh9.1 trilioni mwaka 2022/23 hadi Sh10.4 trilioni kwa mwaka 2023/24. Hayo yamesemwa leo Juni 7, 2023 na Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba wakati akiwasilisha makadirio ya mapato na…