JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Zanzibar kunufaika na biashara ya kaboni

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Khamis Hamza Khamis amesema Zanzibar inatarajia kunufaika na Biashara ya Kaboni wakati wowote kuanza sasa. Amesema hayo leo Juni 13, 2023 bungeni jijini Dodoma wakati akijibu maswali ya Mbunge wa…

Katambi: Mishahara na maslahi ya madereva imeboreshwa

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Serikali imesema mshahara na maslahi kwa madereva imeboreshwa kupitia amri ya kima cha chini cha mshahara kipya kilichoanza kutumika Januari mosi 2023. Amesema, utaratibu wa kazi kwa madereva wanaoendesha magari ya IT unafanyika kwa kuingia makubaliano…

Ruvuma kuzindua kampeni ya kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia

Mkoa wa Ruvuma unatarajia kuzindua kampeni ya kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (Mama Samia Legal Aid Campaign) Julai 22 mwaka huu katika uwanja wa Majimaji mjini Songea. Mwenyekiti wa Kampeni hiyo katika Mkoa wa Ruvuma Stephen Ndaki…

Bei ya ufuta Lindi yazidi kupaa

Jumla ya tani 2,284 za ufuta ghafi kutoka kwa wakulima wa halmashauri za Mtama, Lindi na Kilwa Mkoani Lindi wanaohudumiwa na chama kikuu cha ushirika Lindi Mwambao zimeuzwa katika mnada wa kwanza uliofanywa na chama hicho kwa bei ya juu…