JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Othman: Tumalize migogoro kwa maslahi ya wananchi

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, ametoa maagizo kwa Uongozi wa Wilaya ya Micheweni Pemba, kusimamia utatuzi wa haraka wa Mgogoro wa Msitu wa Kijiji cha Shumba Mjini. Othman ameyasema hayo leo, huko katika Ukumbi wa…

Dkt. Slaa aunga mkono uwekezaji ,aishauri Serikari kurekebisha dosari mkataba wa DP World

Balozi Willibrod Slaa ameunga mkono uwekezaji kwenye Bandari ya Dar es Salaam, lakini ameishauri Serikali kurekebisha kasoro zinazolalamikiwa kwenye mkataba wa uwekezaji na kampuni ya DP World ya Dubai. Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Slaa…

Biteko asisitiza kukamilika jengo la madini wa wakati Dodoma

Mkandarasi wa Jengo Jipya la Wizara ya Madini Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) ametakiwa kuongeza kasi ili kukamilisha jengo hilo kwa wakati. Rai hiyo, imetolewa leo Juni 13, 2023 na Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko wakati wa ukaguzi…

Kunenge azindua zahanati kwenye kituo cha yatima kinachoendeshwa na Anna Mkapa

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Kibaha  Mkuu wa Mkoa wa Pwani ,Abubakari Kunenge amezindua Jengo la Zahanati kwenye Kituo cha watoto yatima Kibaha Children Village Center  kilichopo Mtaa wa Simbani Halmashauri ya Mji Kibaha. Kituo hicho kina Jumla ya watoto 16 ambapo…

Rais Samia afanya uteuzi mwingine

Amemteua Mhandisi Rogatus Hussein Mativila kuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais – TAMISEMI (Miundombinu).  Mhandisi Mativila alikuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS). Amemteua Mhandisi Mohamed Besta kuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS).  Mhandisi…