JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

NEC yatangaza uchaguzi mdogo wa kata 14

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza Uchaguzi Mdogo wa Udiwani katika Kata 14 za Tanzania Bara utakaofanyika tarehe 13 Julai mwaka 2023. Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Ramadhani Kailima amesema uchaguzi huo unafanyika…

Ubungo washirikiana na Hananja kongamano la kuchangia damu kwa hiari

Na Mussa Augustine, JamhuriMedia Taasisi ya Hananja Compasion Foundation kwa Kushirikiana na Manispaa ya Ubungo inatarajia  Juni 24 Mwaka huu kwa ajili ya Kuhamasisha Wananchi kuchangia Damu kwa hiari huku Mgeni Rasmi akitarajiwa kuwa Mkuu wa Wilaya hiyo Hashim Komba….

Zaidi ya bil.230/- zinavyotekeleza miradi ya TANROAD Ruvuma

Serikali imetoa zaidi ya shilingi bilioni 230 kutekeleza miradi mbalimbali ya kitaifa ya Barabara na madaraja mkoani RuvumaMeneja wa TANROADS Mkoa wa Ruvuma,Mhandisi Ephatar Mlavi amesema kati ya fedha hizo zaidi ya shilingi bilioni 129 zimetumika kujenga Barabara ya lami…

Jeshi la Polisi nchini, IAA waandika historia mpya

Chuo Cha Uhasibu Arusha (IAA) na Jeshi la Polisi Tanzania (TPF) kupitia Shule ya Polisi-Moshi wamezindua rasmi ushirikiano wa kitaaluma, uzinduzi huo umefanyika mwishoni mwa wiki,katika Chuo Cha Polisi Moshi. Akizindua rasmi ushirikiano huo Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini…

Taasisi za Umma zatakiwa kuendesha vikao vyake kwa mfumo wa e-mkutano

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma. Meneja Mawasiliano Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), Subira Kaswaga, amezitaka Taasisi za Umma nchini kuendesha vikao kidijitali kwa kutumia mfumo wa e-Mikutano ili kupunguza gharama za uendeshaji. Kaswaga ametoa leo June 13,2023 Jijini hapa wakati akizungumza na…