JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Simbachawane alitaka e-GA kuimarisha kituo chake cha utafiti kuongeza ubunifu wa TEHAMA

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora George Simbachawene, ameiaka Mamlaka ya Serikali mtandao (e-GA) kuimarisha Kituo cha Utafiti, Ubunifu na Uendelezaji wa Serikali Mtandao (eGovRIDC) ili kutengeneza…

Rais Samia: Vitega uchumi kama hivi vitaongeza tija kwa NSSF

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema miradi ya vitega uchumi inayofanywa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) itaongeza tija kwenye Mfuko. Amesema hayo Juni 14, 2023 wakati alipotembelea mradi wa ujenzi…

Madaktari Uingereza waanza mgomo wa siku 3

Madaktari wadogo nchini Uingereza wameanza mgomo wakionya kuwa kutakuwa na “athari kubwa katika utoaji huduma kwa wagonjwa”. Mgomo huo wa siku tatu (3) umekuja huku kukiwa na tishio la migomo zaidi katika kipindi chote cha kiangazi iwapo serikali haitasusia ofa…

Wananchi kupatiwa matibabu ya dharura hospitali ya Nyang’hwale

Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita imekamilisha ujenzi wa jengo la dharura (EMD) liliojengwa kwa ufadhili wa mgodi wa Barrick Bulyanhulu kwa Sh milioni 69 lengo kuwapa wananchi huduma ya dharura kwa ukaribu. Hayo yalisemwa jana na…

Kigongo – Busisi kuvukwa dakika 4 daraja litakapokamilika

Na Immaculate Makilika, JamhuriMedia, Mwanza Kawaida daraja hujengwa kwa kusudi la kuwa na njia ya kupitia juu ya pengo au kizuizi. Licha ya hivyo daraja pia linaweza kuchochea uchumi wa eneo husika kwa kuwa na faida lukuki ikiwemo usafiri na…

Halmashauri Songea yapokea bilioni tatu kutekeleza miradi ya elimu

Halmashauri ya Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma imepokea zaidi ya shilingi bilioni tatu kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo katika sekta ya elimu. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya hiyo Neema Maghembe amesema kati ya fedha hizo  Halmashauri imepokea fedha zaidi…